Halmashauri mpya ya mji wa Mbinga mkoani Ruvuma, imeazimia kununua mitambo maalumu ya kusaga takataka ili kuondokana na hatari ya kukumbwa na magonjwa ya milipuko inayotokana na uchafu ikiwemo kipindupindu , pia takataka hizo zitakazokuwa zikisagwa kwenye mitambo hiyo zitatumika kama mbolea kwenye mashamba ya wakulima.Story kamili hii hapa RUVUMA TV.
No comments:
Post a Comment