Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Balozi wa Congo Nchini Tanzania Mhe. Mutamba Jean Pierne, wakati Balozi huyo alipomtembelea Makamu wa Rais Ofisini Kwake Ikulu Dar es salaam leo March 07, 2016.
BARRICK NORTH MARA KIDEDEA MECHI YA SOKA YA KIRAFIKI NA TIMU YA CHUO CHA
MWALIMU NYERERE
-
Wachezaji wa timu ya Barrick North Mara na Chuo kikuu cha Mwalimu Nyerere
wakipata mawaidha kabla ya kuanza mechi ya soka ya kirafiki iliyofanyika
katika...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment