Pages

Friday, November 25, 2011

TIMU ya soka ya Kumasi Asante kotoko ya Ghana inatarajiwa kuwasili nchini Desemba 9

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni Future Centery Helene Masanja,akizungumza na wahandishi wa habari kuhusu mechi ya kombaini ya timu za Simba na Yanga dhidi ya timu ya Kumasi Asante Kotoko ya Ghana,katikati ni Mwenyekiti wa Yanga Loyd Nchunga na Mwenyekiti wa DRFA Amin Bakharesa.Picha na Michael Matemanga






No comments:

Post a Comment