Pages

Monday, November 28, 2011

EXCLUSIVE: KOCHA MPYA WA SIMBA MILOVAN CIRKOVIC ALIPOWASILI BONGO JANA

Baada ya kuwasili nchini, kocha Mserbia Milovan Cirkovic akilakiwa na katibu mkuu wa klabu ya Simba Evodius Mtawala kulia, na mwenyekiti wa kamati ya Ufundi ya klabu hiyo Ibrahim Masoud "Maestro" na wa mwisho kushoto ni Jerry Yambi mjumbe wa kamati ya mashindano ya klabu hiyo.

Kocha Mserbia Milovan Cirkovic aliyewasili nchini jana usiku kwa mazungumzo ya kuinoa timu yake ya zamani Simba sports club mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Dar es salaam, ambapo alipokewa na mwenyekiti wa kamati ya ufundi ya klabu hiyo Ibrahim Masoud "Maestro" kulia, wengine ni daktari msaidizi Shindika na Kit Manager Kessy.


Milovan baada ya kuwasili nchini akijiandaa kuondoka uwanjani hapo sambamba na mwenyekiti wa kamati ya ufundi Maestro na daktari msaidizi wa timu hiyo Shindika, kulia ni kit manager Kessy

"Karibu tena Simba" Milovan na mwenyekiti wa kamati ya ufundi ya klabu ya Simba Maestro.

No comments:

Post a Comment