Ramadhan Chombo Redondo ana mkataba na Azam FC hadi June 30,
2013... Kwa maana hiyo Chombo ni mchezaji halali wa Azam FC na Azam FC haina
mpango wa kumuuza isipokuwa kumuongeza mkataba, Simba waangalie wasije
wakapoteza pesa zao kama kwenye suala la Jeba. NUKTA
Waliokuwa na Miaka 16 wakati Sensa ya Watu na Makazi 2022 wana sifa ya
kupiga kura-NBS
-
*Ni katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa,w waonywa wapika takwimu za uongo.
Na Chalila.Kibuda
OFISI ya Taifa ya Takwimu(NBS) imesema taarifa ya serikali...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment