Mkuu wa mkoa wa pwani Mwantumu Mahiza amezindua magari mawili ya kubebea wagonjwa katika hospitali ya Tumbi mkoani pwani magari hayo yametolewa na serikali ya korea kupitia Rotary intenational club ya tanzania magari hayo yana thamani ya shilngi milioni mia mbili thelathini za kitanzania kulia ni Jinyong Kim kutoka shirika la kimaendeleo la korea (koika) aliye kushoto ni mwakilshi wa rotary club tanzania bwana Bill bali nyuma yao ni mganga mkuuwa hosipitali ya tumbi Dr Petar datani na aliye nyosha mkono ni mkurugenzi mkuu wa shirika la elimu kibaha Dr Cyprian mpemba hafla hiyo ya makabidhiano yamefanyikia katika hospitali ya tumbi kibaha Picha na Chris mfinanga
Benki ya NMB yajizatiti kuwezesha makampuni ya Korea Kusini yanayotekeleza
miradi nchini
-
Na Mwandishi Wetu.
Benki ya NMB Plc imesisitiza kuendelea kutekeleza dhamira yake ya
kuyawezesha makampuni kutoka Korea Kusini yenye nia ya kuwekeza hapa
...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment