Christiana Figueres.
Mkuu
wa Sekriterieti ya mabadiliko ya tabianchi ya Umoja wa Mataifa
Christiana Figueres amewataka watu kutosubiri serikali zao kufanya
maamuzi magumu ili kupunguza hali ya ujoto duniani.
Kinyume na hilo, amewataka watafakari juu ya jukumu lao wenyewe katika kutatua tatizo hilo.
Christiana Figueres amesema kuwa haoni kama jamii inaguswa na kuzisaidia serikali zao kuchukua maamuzi yenye nia ya dhati.
No comments:
Post a Comment