Vin Diesel ambae ana-play role kubwa kwenye movie za Fast and Furious hivi sasa ana make headlines na movie mpya “Riddick” ambayo itaanza kuonyeshwa kwenye theater za Tanzania leo, unaweza kuangalia na ratiba nyingine hapa za majumba ya Cinema weekend hii.
AMCOS ZA PWANI ZATAKIWA KUACHANA NA OFISI ZA MABEGI
-
Mwenyekiti wa chama kikuu cha ushirika cha Pwani (CORECU), Mussa Hemedi
mng'eresa akiwaambia viongozi wa AMCOS za Pwani umuhimu wa kuwa na ofisi
pamoja...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment