Mshiriki toka Tanzania anayetuwakilisha kwenye mashindano ya Tusker project fame amefanikiwa kusonga mbele kwa mara nyingine baada ya kuwa kikaangoni yeye pamoja na washiriki wenzake wote ndani ya Tusker project fame.Waliotoka wiki hiii ni Phiona toka Rwanda na Kojjo kutoka Uganda.Hongera hisia Tanzania Gooooooooooooooooo Goooooooo
HIFADHI YA SERENGETI NA MLIMA KILIMANJARO ZASHINDA TUZO BARANI AFRIKA
-
Taasisi ya World Travel Awards imetangaza hifadhi mbili za Tanzania kuwa
washindi katika vipengele vya hifadhi na kivutio bora cha utalii barani
Afrika kwa...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment