Familia
ya Mkuu wa Wilaya Mstaafu wa Muleba ,Iringa
na Njombe ,ndugu John Pantaleon Mbonde wa Ilala Sharif Shamba Dar es
Salaam anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake mpendwa Anna Mbonde.
Marehemu alifikwa na mauti tarehe 5/1/2014 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
alikokuwa amelazwa. Marehemu
alisumbuliwa
na ugonjwa wa seli mundu (yaani sickle
cell disease) pia alikuwa na matatizo ya figo kwa muda wa mwaka mmoja
uliopita. Mazishi yalifanyika juzi 7/1/2014 kwenye makaburi ya Kinondoni.Familia
inatoa shukrani za dhati kwa wote waliojitokeza katika shughuli nzima ya
mazishi.
MATUNDA YA UWEKEZAJI WA BANDARI YA TANGA YAANZA KULIPA MELI YA 12 ILIYOBEBA
SHEHENA YA MAGARI YATUA
-
Meneja wa Bandari ya Tanga Masoud Mrisha akizungumza na waandishi wa habari
ambao hawapo pichani baada ya kuipokea meli iliyotoka nchini China moja kwa
m...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment