Pages

Thursday, April 24, 2014

HERI YA SIKU YAKO YA KUZALIWA BLOGGER EDWIN MOSHI

 
Wadau, "Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema". 
Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu, Asanteni Sana
 
Edwin Moshi, 
 
C.E.O 
 
Eddy Blog

No comments:

Post a Comment