Serikali ipige marufuku makampuni ya kutengeneza Mabango kuweka mabango karibu na Barabara ya wekwe mbali na barabara mita 20 kutoka Barabara kuu hili limeanguka Round about ya Royal Oven njia ya kwenda Lugalo Golf course (Avacado)Na hii siyo mara yakwanza mabango kuanguka kunasiku pale katika ya seilender bridge na Kinondoni lilianguka uzuri kulikuwa katika mikoko!
MABONDIA ZAIDI YA 10 WAPIMA AFYA KUELEKEA HOMA YA SGR
-
Zaidi ya mabondia 10 wamepima afya kuelekea pambano la ‘Homa Ya SGR’
itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu Mkoani Morogoro.
Mabondia hao ni Paul Kamata, Osama...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment