Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Dk. Willbroad Slaa akihutubia maelfu ya wananchi wa Kijiji
cha Ludewa, wilayani Kilosa, mkoani Morogoro katika mkutano wa
Operesheni Delete CCM, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi
Ludewa juzi. (Na mpiga picha wetu).
MABONDIA ZAIDI YA 10 WAPIMA AFYA KUELEKEA HOMA YA SGR
-
Zaidi ya mabondia 10 wamepima afya kuelekea pambano la ‘Homa Ya SGR’
itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu Mkoani Morogoro.
Mabondia hao ni Paul Kamata, Osama...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment