Mamia ya wanawake wameandamana katika mitaa ya Nairobi
kutaka haki ya wanawake kuvaa nguo wanazotaka. Maandamano haya yametokana na
kushambuliwa kwa mwanamke mmoja wiki iliyopita kwa madai kuwa alivaa sketi
fupi.
BRELA KUWAKUTANISHA WADAU KUJADILI FURSA NA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI
-
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), wameandaa Mkutano wa Pili
wa BRELA na Wadau utakaofanyika Oktoba 25, 2024 katika ukumbi wa mikutano
wa M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment