Katika hali isiyo ya kawaida polisi waliokuwa zamu katika mechi ya Yanga na African Sports wakimzalilisha dereva wa daladala linalofanya kazi zake kati ya Mbagala na Makumbusho nje ya Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jambo hili liliwapa watu wengi viulizo maana dereva huyo alipowauliza kwanini wanamkamata tena kwa kumvamia na kuvuta??? Polisi hawa hawakuonyesha hali ya ubinadamu maana wao walivyofanya ni kumdhalilisha dereva. Tunaoomba wahusika waoneni polisi wenu mambo wanayoyafanya, ifike mahali mtu anapotii sheria bila shuruti hata kama hana kosa hakuna haja ya kutumia mabavu.
KADA WA CHADEMA AFUNGIWA MIEZi 6 LESENI YA UDEREVA
-
NA DENIS MLOWE,IRINGA
JESHI la polisi kitengo cha usalama barabarani mkoa Iringa kimemfungia
leseni ya Udereva kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia tarehe 7...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment