LADY GAGA BWANA!!!!!!
ukiangalia
fasta fasta unaweza usishtukie, lakini huyo ni LADY GAGA na hiyo ndio
stail yake ya jana alivyotupia pamba kwenye tuzo za MTV EUROPE MUSIC
AWARDS.
Wengine walioshinda tuzo ni pamoja na Justine bieber na tuzo ya best male na tuzo ya best pop, Bruno Mars best new act na tuzo ya best push act, Linkin park wameshinda Best rock, ambapo Best hip hop amechukua Eminem ambae alikua anashindanishwa na Jay Z & Kanyewest, Lil wyne, Pitbull na Snoop Dog.
ingekuta
sio huyu jamaa ambae mpaka sasa hajulikani alikua nani, ingekuta sio
yeye kupita kwenye stage akiwa kama alivyozaliwa, stori ya Lady Gaga
kushinda tuzo nne ndio ingekua ya kwanza kuzungumziwa sana, lakini huyu
jamaa kaifunika stori ya Gaga aisee!!!!! kama hujasoma stori ya huyu
njemba, shuka chini ipo
No comments:
Post a Comment