Wachezaji
wa timu za Uganda na Zimbabwe wakipambana vikali katika lango la timu
ya Zimbabwe katika mchezo wa Robo fainali kombe la TUSKER CHALLENGE CUP
2011 uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jioni hii,
timu ya Uganda imefanikiwa kushinda mchezo huo goli 1-0 dhidi ya
Zimbabwe, Matokeo ambayo yanaitoa nje ya mashindano timu ya Zimbabwe.
PICHA NA MOHAMED MAMBO
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
7 hours ago



No comments:
Post a Comment