Mchezaji Nizar Khalfan wa timu ya Taifa Stars akichuana na mchezaji Frasisco Masinga wa Msumbiji The "Mambas"
wakati wa mchezo wao wa kuwania kufuzu katika fainali za kombe la
mataifa ya Afrika yatakayofanyika nchini Afrika Kusini unaofanyika
kwenye uwanja wa Taifa.
Hivi sasa ni Kipindi cha pili na timu zinatoshana nguvu kwa kuwa na
matokeo ya 1-1 katika kipindi cha kwanza kilichomalizika, hebu tuangalie
kipindi hiki cha pili huenda kikabadilisha matokeo, hata hivy timu ya
Msumbiji inaonekana kumiliki sana mpira hasa katika nafasi ya Kiungo
Air Tanzania Yatua Victoria Falls kwa Mara ya Kwanza, Yaongeza Safari
Zimbabwe
-
NDEGE ya Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) imefanya first touch down
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Victoria Falls, Zimbabwe, leo mchana
t...
34 minutes ago



No comments:
Post a Comment