Mchezaji
wa timu ya Yanga Haruna Niyonzima akichuana na beki wa timu ya Mtibwa
Sugar katika mchezo wa Ligi kuu ya Vodacom uliofanyika kwenye uwanja wa
Taifa jioni hii jijini Dar es salaam, Mpira umekwisha na Yanga
imefanikiwa kuitandika Mtibwa Sugar Magoli 3-01 bila huruma katika
kipindi cha pili cha mchezo huo.
Magoli ya Yanga yamefungwa na wachezaji Keneth Asamoah,Shamte Ally,
Khamis Kiiza , na kwa upane wa timu ya Mtibwa Sugar mfungaji alikuwa
Issa Rashid aliyeipatia timu hiyo goli la kufutia machozi.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
16 hours ago



No comments:
Post a Comment