Msemaji wa wanajeshi waliyofanya mapinduzi hayo Bakary Mariko, alisema walinzi wa rais Traore waliua watu watatu katika uvamizi huo japo taarifa nyingine zinasema walinzi hao walikaa na kutizimana huku wananchi hao wakijivinjari katika viwanja vya Ikulu, huku wengine wakionekana kuegesha pikipiki na baiskeli zao katika eneo la ikulu na kuchana picha za rais Traore.
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SLOVAKIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Ulaya wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe.
Juraj Blanár, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia Juni 10 hadi 11,
2026,...
1 day ago




No comments:
Post a Comment