HUYU NDIO BATA ALIYEINGILIWA NA BINADAMU MPAKA AKAFA
Kama ulisikiliza hekaheka za juzi katika leo tena!!Hii
imetokea hapahapa Dar es salaam njemba imekutwa
ikimuingilia bata mzinga mpaka akafa.Alimtoa bata kwenye banda na
kuingia nae chumbani kwake na kumfanya hicho alichomfanya
Hapa hali ilikuwa imeshatulia shwari mida ya saa saba ila asubuhi mitaa hii ilikuwa imefunga watu wamejaa kushangaa tukio hilo.
Bata
huyo ni wa famili yake na jamaa aliweza kupiga bao zake tatu
duuuuh.Alipokutwa hakukataa alielezea kila kitu kuwa alikuwa
kazidiwa.Wananchi walimbeba mzobemzobe na kumpeleka kituo cha polisi
sasa hapo siji mshitaki atakuwa nani??!!
Wananchi hawamtaki mtaani kwao asije akawabakia watoto buree.
Ndio hivyo watu husema dunia ina mambo lakini si kweli binadamu ndio wana mambo!!
picha kwa hisani ya Gea Habib!na Dina marios blogspot
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment