Anafahamika
kama Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small ambaye hivi sasa
amelazwa kwenye hospitali ya Amana kwa matibabu ya afya yake baada ya
kupata ugonjwa wa ghafla aliporejea Dar kutoka kwenye ziara yake mkoani
Mwanza Mei 21 mwaka huu. Mzee Small ambaye alikuwa na Bi. Chau mkoani
Mwanza alipatwa na ugonjwa ambao haukuweza kufahamika haraka baada ya
kurejea nyumbani kwake Tabata ambapo baada ya kufika alionekana kama
amechanganyikiwa huku akiwa hawezi kuongea na mkono wake mmoja ukiwa
unashindwa kufanya kazi kama kawaida yake, Lakini alipofikishwa
hospitali Daktari alisema
APRM YAKUTANA NA VIONGOZI WA WANAFUNZI KUJADILI NAFASI YA VIJANA KATIKA
UTAWALA BORA
-
Katibu Mtendaji wa Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika wa
Kujitathmini kwa Vigezo vya Utawala Bora (APRM) Tanzania, Bw. Lamau Mpolo,
amekutana na...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment