Mh Mbowe amesema kuwa Marehemu Makani alikuwa akiugua kwa muda mrefu na kupelekwa hospitali mbalimbali kwa matibabu ikiwemo nje ya nchi,amesema kuwa Mwili wa Marehemu umehamishiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa hifadhi. Msiba upo nyumbani kwake Mbezi Beach jirani na Rainbow.
VIJANA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA RAIS SAMIA, WATAJA FAIDA ZA UONGOZI
WAKE KWA MAENDELEO YA TAIFA
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv
VIJANA nchini wameungana kuadhimisha Siku ya Kumbukizi ya kuzaliwa Rais
Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakisema kuwa ni kiongozi m...
10 hours ago


No comments:
Post a Comment