Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, June 10, 2012

NYANDU TOZ 26 NAMBA KUTOKA FAMILIA YA B.O.B APATA MTOTO.



Ni hivi karibuni tu the long tyme  rapper katika scene ya muziki wa kizazi kipya namzungumzia 26 number kutoka familia ya B.O.B, Nyandu Toz aliibiwa ndinga lake na baadae kwa bahati likaja kupatikana so ile ilikua ni bahati mbaya kwa kuibiwa na bahati nzuri kulipata, akipiga stories na 255 na ya Double XL amefunguka kuwa tyme baada ya kuibiwa gari na kulipata, Good news ni kwamba amepata bonus, tena ni blessingz from God, baada ya yule wa ubavu wake kujifungua mtoto

No comments:

Post a Comment