Ni hivi karibuni tu the long tyme rapper
katika scene ya muziki wa kizazi kipya namzungumzia 26 number kutoka
familia ya B.O.B, Nyandu Toz aliibiwa ndinga lake na baadae kwa bahati
likaja kupatikana so ile ilikua ni bahati mbaya kwa kuibiwa na bahati
nzuri kulipata, akipiga stories na 255 na ya Double XL amefunguka kuwa
tyme baada ya kuibiwa gari na kulipata, Good news ni kwamba amepata
bonus, tena ni blessingz from God, baada ya yule wa ubavu wake
kujifungua mtoto
VIJANA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA RAIS SAMIA, WATAJA FAIDA ZA UONGOZI
WAKE KWA MAENDELEO YA TAIFA
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv
VIJANA nchini wameungana kuadhimisha Siku ya Kumbukizi ya kuzaliwa Rais
Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakisema kuwa ni kiongozi m...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment