Linex
jana jioni hadi usiku wa kuamkia leo alikuwa pande za Kunduchi Beach
Hotel akishuti video yake mpya na kampuni ya video inayojulikana kwa
jina la Visual lab chini ya Dir Adam Juma. Wimbo ambao ulikuwa
ukishutiwa unajulikana kwa jina la AIFORA ambao umetengenezwa katika
studio zilizopo Kibaha chini ya Producer Fundi Samweli
NCHI WANACHAMA ARGeo WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUBUNI MIPANGO UTAFUTAJI
RASILIMALI JOTOARIDHI
-
Na Jacquiline Mrisho - MAELEZO
Nchi za Afrika ambazo zimepitiwa na bonde la ufa la jotoardhi zimetakiwa
kushirikiana kubuni mipango mbalimbali ya utafutaji...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment