Kuna rumorz kitaani kuwa kundi la
wakali kwanza ambalo liliwahi kufanya vizuri kwenye music biz tanzania,
nazungumzia kwenye mwaka 2006 -2009, baadae jamaa wakapotea ,
nawazungumzia kina Josline, Makamua na Q –Jay, sasa hivi jamaa
wamejikusanya tena wakaingia studio, baada ya hapo wakapiga kichupa,
tayari nimeshakichungulia ingawa video bado haijatoka, wapo wote kasoro
mtu mmoja tu na pengo lake limezibwa na mwanadada Kekuu kutoka r
chuga na mmoja wa member ambae hayupo Wakali kwanza ni Q.
Benki ya DCB yaja na mikopo ya pikipiki na bajaji kuwakomboa vijana na
mikopo ya mikataba ‘kausha damu’
-
Benki ya Biashara ya DCB imezindua mikopo ya boda boda na bajaji yenye
masharti nafuu, ikiwa na lengo la kuwaondolea adha na usumbufu vijana
wanaojishughu...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment