![]() |
| Waungwana baada ya kisomo wakisubiri sadaka |
![]() |
| Sheikh Mussa kulia, kushoto ni Katibu wake Almasi lailly Mussa na nyuma yao ni mwanachama wa Yanga, Mustafa Mohamed, Katibu wa Tawi la Kurasini |
![]() |
| Madega kulia, akiwa na Sanga kushoto kwake |
![]() |
| Waungwana wakisubiri sadaka baada ya dua |
![]() |
| Katibu wa Yanga, Celestine Mwesigwa kulia, Madega na Sanga |
![]() |
| Sheikh Mussa katikati, kulia Juma Mnonji mwanachama wa Simba, na kushoto Katibu wake, Almasi |
![]() |
| Waungwana baada ya dua wakisubiri sadaka |
![]() |
| Akina mama wakichambua mchele |
![]() |
| Akina mama wakichambua mchele |
![]() |
| Eneo la kusomea ibada ya hitima |
![]() |
| Waungwana tayari kwa kisomo cha hitima |
![]() |
| Mwanachama maarufu wa Simba, Mzee Juma Mnonji wa tatu kutoka kushoto akiwa kwenye hitima kama mmoja wa wageni waalikwa |
![]() |
| Masufuria jikoni |
![]() |
| Jamaa anatengeneza viungo |
![]() | ||||||||||||
| Ng'ombe anaiva |
















No comments:
Post a Comment