Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, June 8, 2012

YONDAN AKABIDHIWA JEZI YAKE YANGA


Beki wa Simba, Kelvin Yondan akikabidhiwa jezi ya klabu yake mpya, Yanga na mwanachama wa Yanga, Seif Ahmad 'Magari'.

Kaka yake Kelvin Yondan akiusoma kwa makini mkataba wa Yanga, kabla ya kumruhusu mdogo wake kusaini

Yondan anatia dole gumba nguvu zake zote

Yondan anamwaga wino kwa umakini wa hali ya juu

Yondan akiangalia fedha huku akinywa maji kupoza koo, kulia ni kaka yake

No comments:

Post a Comment