Baada
ya kusumbuliwa kwa kipindi kirefu kwa ugonjwa ambao ulisababishwa na
uvimbe tumboni hatimaye mwigizaji machachari kabisa kunakoulingo wa
filamu hapa nchini Juma Kilowoko maarufu kwa jina la Sajuki amerejea
nchini siku kadhaa zilizopita. Akiwa anazungumza na waandishi wa
Globalpublishers Sajuki alidai kwa sasa hali yake imerejea kama zamani
na anawashukuru Watanzania wote waliomchangia kwa hali na mali
kufanikisha matibabu yake na anathamini mchango wao, bila kuwafumbia
macho waliokuwa wanazungumza yasiyokuwepo Sajuki hakuacha kuzungumzia
waliomzushia kifo na kusema kuwa yeye hana kinyongo na
mtu na Mungu awabariki. Pichani ni sajuki baada ya kurejea kutoka India alikokwenda kwa matibabu.
Serikali Sikivu Ingeyafanyia Kazi Maoni ya Wadau Kupata Sheria Bora za
Habari
-
Na. Najjat Omar
AZIMIO la Ulimwengu juu ya Haki za Binadamu (UDHR) la mwaka 1948 ndiyo
msingi mkuu wa maazimioyoteya haki za binadamu yaliyoridhiwa na mat...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment