Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, July 17, 2012

DULLAH WA PLANET BONGO AFIWA NA MTOTO WAKE



Abdallah Hamis Ambua wengi tunamjua kwa jina la Mjukuu wa Ambua Mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo kutoka East Africa Radio & TV leo majira ya saa 9 alasiri amempoteza mwanae wa kwanza wa kiume kuzaliwa. Mtoto huyo ambaye alikuwa na siku moja toka kuzaliwa hiyo jana mchana. 
Na hivi ndivyo ilivyokutwa kwenye facebook ya Dullah



Leo majira ya saa tisa alasiri ndipo ilipo patikana taarifa kutoka kwa rafiki kwa watu kuwa mtoto wa Dullah amefariki dunia
Inna Lillah wainna Ilay Rrajiuun

No comments:

Post a Comment