
Raila Odinga akiwa anampigia Prezzo kura na picha akaiweka kwenye page yake ya twitter yenye watu zaidi ya elfu 67.
Waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga amekua kiongozi wa juu wa nchi mimi kuona ushahidi wake wa kumpigia kura mshiriki wa shindano la Big Brother Africa ambalo baadhi ya viongozi wakuu wamenukuliwa kwenye vyombo vya habari kwamba hawaliungi mkono.
Jumatatu July 30 2012 Raila Odinga alikwenda kwenye page yake ya twitter iliyo verrified na kuandika kwamba tayari amepiga kura yake kwa Prezzo ndani ya Big Brother kwa kutuma sms.
Shindano la Big Brother linatarajiwa kumalizika July 5 2012 ambayo ni jumapili ijayo, ambapo mpaka sasa Prezzo ndio anaongoza kwa kupigiwa kura nyingi za swali wanaloulizwa watu ni Mshiriki gani wanaetaka ashinde.. chek hapo chini.
No comments:
Post a Comment