MRADI
wa ujenzi dampo la kisasa wenye thamani ya shilingi bilioni 3
unofadhiliwa na benki ya dunia katika jiji la Arusha, upo hatari
kuyeyuka kufuatia wananchi wa kata ya Muriet manispaa ya Arusha kugoma
kupisha eneo la mradi huo licha ya kulipwa stahili zao .
PSPTB YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI 2026: ASILIMIA 43.7 WAFAULU,
DIRISHA LA MITIHANI YA KATI KUFUNGULIWA JULAI 1, 2026
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza matokeo ya
mitihani ya 33 ya taaluma ya Mnyororo wa Ugavi iliyofanyik...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment