Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey ikiteketea kwa moto mchana wa leo maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikujulikana mara moja na hakuna aliejeruhiwa wala kupoteza maisha katika ajali hii ya moto.IMEANDIKWA NA MAGGID MJENGWA
RAIS WA ZANZIBAR .DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA CHARAWE WILAYA
YA KATI UNGUJA LEO
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wazee wa Kijiji cha Charawe Wilaya ya
Kati Unguj...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment