Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey ikiteketea kwa moto mchana wa leo maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikujulikana mara moja na hakuna aliejeruhiwa wala kupoteza maisha katika ajali hii ya moto.IMEANDIKWA NA MAGGID MJENGWA
TARURA YATEKELEZA UJENZI WA KM 56 ZA BARABARA ZA LAMI ILALA KUPITIA DMDP II
-
Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza
kutekeleza ujenzi wa barabara zaidi ya Kilomita 56 kwa kiwango cha lami na ...
24 minutes ago

No comments:
Post a Comment