Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey ikiteketea kwa moto mchana wa leo maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikujulikana mara moja na hakuna aliejeruhiwa wala kupoteza maisha katika ajali hii ya moto.IMEANDIKWA NA MAGGID MJENGWA
Serikali Yaahidi Mazingira Wezeshi kwa Watengeneza Maudhui Mtandaoni
-
Na Mwandishi Wetu, WMTH – Dodoma
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa
Kairuki (Mb), amesema Serikali itaendelea kuwe...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment