Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey ikiteketea kwa moto mchana wa leo maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikujulikana mara moja na hakuna aliejeruhiwa wala kupoteza maisha katika ajali hii ya moto.IMEANDIKWA NA MAGGID MJENGWA
Kimataifa : Tanzania na Belarus Kuendeleza Ushirikiano
-
MHESHIMIWA Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameihakikishia Jamhuri ya Belarus
kuwa Tanzania itaendeleza ushirikiano na nchini hiyo na kwamba amewaalika
waw...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment