Lile shindano la Bibi Bomba lilokuwa likiendeshwa na Clouds TV
limefikia kilele chake dakika chache zilizopita na Bibi Veronica
Mpangala kuibuka mshindi kwa kuwazidi wenzake kwa mbali sana kama graph
inavyoonesha kwenye picha zinazo endelea. Bi Veronica amejishindia Tsh
5,000,000/= pamoja na zawadi nyingine. Nafasi ya pili imeshikwa na Anna
Said a.k.a Mzee wa Dongo na kupata Tsh. 3,000,000/= wakati nafasi ya
tatu ikishikwa na Bi. Nasra Mohamed ambaye ameshinda Tsh. 1,500,000.
Washiriki wengine walioingia kwenye 8 bora walijipatia zawadi ambazo
hazikutajwa.
CATC yafungua Mafunzo ya Usimamizi wa Vihatarishi Anga kwa Niaba ya ICAO
Jijini Dar es Salaam
-
Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) kwa niaba ya Shirika la Kimataifa la
Usafiri wa Anga (ICAO) kimezindua rasmi mafunzo ya Vihatarishi katika
Usafiri wa Ang...
1 hour ago





No comments:
Post a Comment