Lile shindano la Bibi Bomba lilokuwa likiendeshwa na Clouds TV
limefikia kilele chake dakika chache zilizopita na Bibi Veronica
Mpangala kuibuka mshindi kwa kuwazidi wenzake kwa mbali sana kama graph
inavyoonesha kwenye picha zinazo endelea. Bi Veronica amejishindia Tsh
5,000,000/= pamoja na zawadi nyingine. Nafasi ya pili imeshikwa na Anna
Said a.k.a Mzee wa Dongo na kupata Tsh. 3,000,000/= wakati nafasi ya
tatu ikishikwa na Bi. Nasra Mohamed ambaye ameshinda Tsh. 1,500,000.
Washiriki wengine walioingia kwenye 8 bora walijipatia zawadi ambazo
hazikutajwa.
Waziri Mkuu aagiza watumishi waliosababisha mifuko alfu moja kuganda,
wachukuliwe hatua
-
NA MASHAKA MHANDO, Handeni
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba,
amemwagiza Katibu Mkuu Wizara ya elimu, sayansi na...
4 hours ago





No comments:
Post a Comment