Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, August 15, 2012

MAKINDA YA SIMBA YALIVYOWALIPIA KISASI KAKA ZAO LEO


Kocha wa Azam, Bors Bunjak kutoka Serbia kulia, akiwa na Msaidizi wake, Vivek Nagul kutoka India

Maofisa wa Bank ABC wakikagua timu

Kocha wa Simba B, Suleiman Matola kushoto na Msaidizi wake Amri Said 

Kikosi cha Azam

KIkosi cha Simba B

Bao la kwanza Simba SC wanashangilia

Kipre Tchetche kushoto

Abdi Kassim 'Babbi' kushoto akituliza mpira kifuani

Haroun Athumani wa Simba kulia akmipiga krosi mbele ya Ibrahim Shikanda na Abdulhalim Humud

Chrtipher Edward aliyepiga magoti akiinuka baada ya kuangushwa na Luckson Kakolaki kulia, kabla ya kupiga penalti iliyozaa bao la pili

Simba wanashangilia penalti 

Mpira unaenda nyavuni; penalti ya Christopher Edward 

No comments:

Post a Comment