Mkuu wa mkoa wa pwani Mwantumu Mahiza amezindua magari mawili ya kubebea wagonjwa katika hospitali ya Tumbi mkoani pwani magari hayo yametolewa na serikali ya korea kupitia Rotary intenational club ya tanzania magari hayo yana thamani ya shilngi milioni mia mbili thelathini za kitanzania kulia ni Jinyong Kim kutoka shirika la kimaendeleo la korea (koika) aliye kushoto ni mwakilshi wa rotary club tanzania bwana Bill bali nyuma yao ni mganga mkuuwa hosipitali ya tumbi Dr Petar datani na aliye nyosha mkono ni mkurugenzi mkuu wa shirika la elimu kibaha Dr Cyprian mpemba hafla hiyo ya makabidhiano yamefanyikia katika hospitali ya tumbi kibaha Picha na Chris mfinanga
VYAMA 12 VYAPONGEZA RIPOTI YA TUME YA UCHUNGUZI YA MATUKIO YA OKTOBA 29
-
Vyama 12 Vimepongeza ripoti ya tume ya kuchunguza matukio ya tarehe 29 na
baada ya uchaguzi iliyowasilishwa na Jaji Chande.
Katika mkutano huo Mhe Doyo ali...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment