Mkuu wa mkoa wa pwani Mwantumu Mahiza amezindua magari mawili ya kubebea wagonjwa katika hospitali ya Tumbi mkoani pwani magari hayo yametolewa na serikali ya korea kupitia Rotary intenational club ya tanzania magari hayo yana thamani ya shilngi milioni mia mbili thelathini za kitanzania kulia ni Jinyong Kim kutoka shirika la kimaendeleo la korea (koika) aliye kushoto ni mwakilshi wa rotary club tanzania bwana Bill bali nyuma yao ni mganga mkuuwa hosipitali ya tumbi Dr Petar datani na aliye nyosha mkono ni mkurugenzi mkuu wa shirika la elimu kibaha Dr Cyprian mpemba hafla hiyo ya makabidhiano yamefanyikia katika hospitali ya tumbi kibaha Picha na Chris mfinanga
MUUNGANO WAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO
-
Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na (Mazingira) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasil...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment