Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwalimu wake, John Kasalamimba
wakati walipokutana Mkjini Mpanda Agust 30,2012.Mwalimu Kasalamimba
alimfundisha Waziri Mkuu kuanzia mwaka 1960darasa la tatu katika Shule
ya Msingi ya Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda.Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu
DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Iringa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka taasisi za
uhifadhi nchini, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment