Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwalimu wake, John Kasalamimba
wakati walipokutana Mkjini Mpanda Agust 30,2012.Mwalimu Kasalamimba
alimfundisha Waziri Mkuu kuanzia mwaka 1960darasa la tatu katika Shule
ya Msingi ya Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda.Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu
Mariam Ibrahim Ahimiza Matumizi ya Nishati Safi Mkuranga
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, ameendelea
kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.*
*Ameyasema hayo le...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment