Sir Juma kassim kiloboto Nature sasa kuweka pembeni Music na kufanya kazi ya Siasa ili kuweza kuwania jimbo la Temeke 2015 ili kuweza kuendeleza harakati zaidi za jamii kwa ujumla na kufanikisha mambo mbalimbali niliweza kutaka kuonana na Nature ili kuweza kuongea nae ila juu ya harakati hizi Mda ndio ukawa tatizo ila mpya juu ya harakati za nature katika siasa ntawapeni zaidi.
Maoni yako juu ya Nature kutaka ubunge,
Mwanamitandao na Shabiki Maarufu wa Man City Brydon Bent Kuja Tanzania
-
*#UnforgetableTanzania na *#DestinationTanzania
MWANAMITANDAO na shabiki maarufu wa klabu ya Manchester City, Brydon Bent,
anatarajiwa kuwasili Tanzania ka...
24 minutes ago


No comments:
Post a Comment