Sir Juma kassim kiloboto Nature sasa kuweka pembeni Music na kufanya kazi ya Siasa ili kuweza kuwania jimbo la Temeke 2015 ili kuweza kuendeleza harakati zaidi za jamii kwa ujumla na kufanikisha mambo mbalimbali niliweza kutaka kuonana na Nature ili kuweza kuongea nae ila juu ya harakati hizi Mda ndio ukawa tatizo ila mpya juu ya harakati za nature katika siasa ntawapeni zaidi.
Maoni yako juu ya Nature kutaka ubunge,
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA UTEKELEZAJI MRADI WA UMWAGILIAJI NYIDA,
SHINYANGA
-
-Ni mradi wa Umwagiliaji unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
(NIRC)
NIRC Shinyanga
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara Kilimo n...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment