REFARII
mwenye ulemavu wa miguu (kiwete) Edward Chagula, almaarufu kama
Popobawa hivi karibuni aliwavutia mashabiki waliofurika katika Uwanja wa
Kanisa Katoliki Parokia ya Nundu, Nyakato, jijini Mwanza wakati
akichezesha mechi kati ya Home Boyz na Temeke FC zote za jijini
humo. source Global publishers
DC ILALA AMALIZA MGOMO WA WAFANYAKAZI ZAIDI YA 1,500 WA KIWANDA CHA NAMERA,
GONGOLAMBOTO
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Edward Mpogolo, amefanikiwa kumaliza mgomo wa
wafanyakazi zaidi ya 1,500 wa Kiwanda cha NAMERA kilichopo Gongolamboto,
jijini...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment