REFARII
mwenye ulemavu wa miguu (kiwete) Edward Chagula, almaarufu kama
Popobawa hivi karibuni aliwavutia mashabiki waliofurika katika Uwanja wa
Kanisa Katoliki Parokia ya Nundu, Nyakato, jijini Mwanza wakati
akichezesha mechi kati ya Home Boyz na Temeke FC zote za jijini
humo. source Global publishers
MKUU WA MKOA KATAVI AAGIZA UTII WA SHERIA ZA TASAC
-
Na Mwandishi Wetu,Katavi
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, ameagiza wadau wote wa usafiri
majini na shughuli zinazohusiana na uendeshaji wa vyom...
31 minutes ago

No comments:
Post a Comment