REFARII
mwenye ulemavu wa miguu (kiwete) Edward Chagula, almaarufu kama
Popobawa hivi karibuni aliwavutia mashabiki waliofurika katika Uwanja wa
Kanisa Katoliki Parokia ya Nundu, Nyakato, jijini Mwanza wakati
akichezesha mechi kati ya Home Boyz na Temeke FC zote za jijini
humo. source Global publishers
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov,
amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili 28 hadi
30, 20...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment