Ama kweli mwisho wa dunia umekaribia! Chipukizi wawili wa filamu za Kibongo, Tabasamu Mohamed na Neema Ibrahim, wamekutwa ‘laivu’ wakifanya mambo ya chumbani hadharani. |
Awali wasanii hao walishuhudiwa wakiwa ‘klozi’ ambapo walikwenda ‘kupozi’ chini ya mti na kuanza ‘kudendeka’ kabla ya kuzama katika hatua mbaya zaidi ya kutomasana na kuvuana nguo bila kujali kuwa ilikuwa mchana tena hadharani. |
Katika kushaabikia zoezi hilo, baadhi ya watu walimtonya paparazi wetu aliyekuwa akifanya kazi yake katika shindano hilo ndipo alipotimba kwenye eneo la tukio kisha
pumbavu wanatafuta umaarufu wakijinga wakuuza skendo kwenye magazeti maanina zao
ReplyDeleteyani acha kaka hawa wasanii wetu wa siku hizi hamnazo kabisa
ReplyDelete