Mshiriki
kutoka Dar es Salaam Bereniki Kimiro aka Mama Kev ndio ameibuka mshindi
wa maisha plus season 3 nakujinyakulia kitita cha sh mil 20. katika
nafasi ya 2 imekwenda kwa Venance Mushi alie ibuka na kitita cha sh ml 6
kilichotolewa na naibu Waziri wa maliasili na utalii Mh Lazaro Nyalandu
na wa tatu ni Justin Bayo kutoka Morogoro nae kajinyakulia kitita cha
sh mil 4 pia kimetolewa na naibu waziri huyo ambaye pia amewahaidi
vijana wote waliobakia kuwapa kila mmoja sh laki tano katika halfa ya
msosi wa mchana aliowaahidi kuwaandalia kesho katika hotel ya serena
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
11 hours ago


No comments:
Post a Comment