Mshiriki
kutoka Dar es Salaam Bereniki Kimiro aka Mama Kev ndio ameibuka mshindi
wa maisha plus season 3 nakujinyakulia kitita cha sh mil 20. katika
nafasi ya 2 imekwenda kwa Venance Mushi alie ibuka na kitita cha sh ml 6
kilichotolewa na naibu Waziri wa maliasili na utalii Mh Lazaro Nyalandu
na wa tatu ni Justin Bayo kutoka Morogoro nae kajinyakulia kitita cha
sh mil 4 pia kimetolewa na naibu waziri huyo ambaye pia amewahaidi
vijana wote waliobakia kuwapa kila mmoja sh laki tano katika halfa ya
msosi wa mchana aliowaahidi kuwaandalia kesho katika hotel ya serena
KAMATI YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA UJENZI SHULE YA GHOROFA YA KATA YENYE
LIFT ILALA
-
NA MWANDISHI WETU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI) imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment