LULU MICHAEL;KESI YA LULU MICHAEL KUSOMWA LEO DESEMBA 17 2012
KESI
ya mauaji inayomkabili msanii wa filamu nchini, Elizabeth Michael
(Lulu), dhidi ya aliyekuwa msanii mwenzake, Steven Kanumba, inaendelea
kupigwa kalenda kwa madai kwamba upelelezi haujakamilika.
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment