Mshabiki
wa chuo cha uhasibu arusha aliyefahamika kwa jina Ally akiwa amezirai
wakati akishangilia ushindi wa timu ya netball kutoka arusha baada ya
kunyakua komea la mashindano ya vyuo vikuu yanayoendelea jijini
tanga,Timu hiyo ya netball kutoka chuo cha uhasibu arusha wameshinda kwa
pointi 42 kwa 29 ya chuo cha uhasibu tanzan ia, Mechi iliyofanyiika
jioni ya leo mkoani tanga
Waziri Kombo Ashiriki Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi Mauritius
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud
Thabit Kombo ameshiriki Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi, unaofanyika
jijini Por...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment