Jeshi la Polisi Tanzania limewakamata zaidi ya wasichana wapatao 22 eneo
la Mwananyamala karibu na geti la Mwananyamala hospitali akiwemo mama
mtu mzima anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 70 ambaye alikuwa
anamiliki jumba lenye zaidi ya vyumba 40 ambalo utumika kufanyia ukahaba
maarufu kama danguro.
Rais Samia awaapisha Majaji 9 wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Jijini Dar es
Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Mhe. Rabia Hussein Mohamed kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani
kwenye haf...
17 minutes ago

No comments:
Post a Comment