Jeshi la Polisi Tanzania limewakamata zaidi ya wasichana wapatao 22 eneo
la Mwananyamala karibu na geti la Mwananyamala hospitali akiwemo mama
mtu mzima anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 70 ambaye alikuwa
anamiliki jumba lenye zaidi ya vyumba 40 ambalo utumika kufanyia ukahaba
maarufu kama danguro.
Watendaji wa Uchaguzi watakiwa kusimamia Uchaguzi kwa weledi
-
Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama
ya Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza wakjati akifunga mafunzo
ya wa...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment