Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, January 8, 2013

LADY JAY DEE NA GADNER WAANZA SAFARI YAO YA SIKU 6 KUPANDA MLIMA KILIMANJARO




Lady Jaydee na Gardner, wakipozi kwa picha baada ya kusaini kitabu cha wageni katika lango kuu la kuingilia Marangu wakati wakianza safari yao ya kupanda Mlima Kilimanjaro, leo asubuhi.
 Lady Jaydee, akipata picha ya kumbukumbu katika ubao wa njia kuu.
 Mkuu wa Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro, Erastus Lufungilo, akisalimiana na Lady Jaydee, kabla ya kuanza safari yake ya siku sita ya kuupanda Mlima Kilimanjaro.

No comments:

Post a Comment