Kama ulikuwa hujui mtuwangu wa nguvu mwezi uliopita MH .TEMBA alikuwa kati ya watu walioibiwa vifaa vya gari ambalo pia picha zake nilizi weka kwenye webst .Hii leo Temba ameamplify kupitia amplifaya kuibiwa vitu vya gari lake kwa mara ya tano.Mara ya kwanza aliibiwa akiwa na suzuki mikocheni mara ya pili akiwa na gari aina ya Gx100 akiwa diamond jubilee mara ya tatu chango’mbe akiwa na gari aina ya Gx110 mara nne Gx100.na mara ya tano Temba ameibiwa jana nyumbani kwake.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment