Kama ulikuwa hujui mtuwangu wa nguvu mwezi uliopita MH .TEMBA alikuwa kati ya watu walioibiwa vifaa vya gari ambalo pia picha zake nilizi weka kwenye webst .Hii leo Temba ameamplify kupitia amplifaya kuibiwa vitu vya gari lake kwa mara ya tano.Mara ya kwanza aliibiwa akiwa na suzuki mikocheni mara ya pili akiwa na gari aina ya Gx100 akiwa diamond jubilee mara ya tatu chango’mbe akiwa na gari aina ya Gx110 mara nne Gx100.na mara ya tano Temba ameibiwa jana nyumbani kwake.
BRELA KUWAKUTANISHA WADAU KUJADILI FURSA NA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI
-
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), wameandaa Mkutano wa Pili
wa BRELA na Wadau utakaofanyika Oktoba 25, 2024 katika ukumbi wa mikutano
wa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment