![]() |
| Kikosi cha Simba leo |
![]() |
| Kikosi cha Azam leo |
![]() |
| Kipre Balou wa Azam kulia akiwania mpira wa juu na Abdallah Seseme wa Simba |
![]() |
| Samir Hajji Nuhu wa Azam akiwatoka wachezaji wa Simba |
![]() |
| Miraj Adam wa Simba akiuwahi mpira dhidi ya Hajji Nuhu wa Azam |
![]() |
| Humphrey Mieno wa Azam aliyeenda hewani kuifungia bao la kwanza timu yake |
![]() |
| Wachezaji wa Azam wakimpongeza Humphrey Mieno kufunga bao la kwanza |
![]() |
| Paul Ngalema wa Simba akimdhibiti Uhuru Suleiman wa Azam FC |
![]() |
| Ibrahim Mwaipopo anatoa pasi huku akiwa amebanwa na wachezaji wa Simba SC |
![]() |
| Kipa wa Simba SC, William Mweta akiwa amedaka mbele ya mshambuliaji wa Azam, Brian Umony huku beki wake Paul Ngalema akiwa tayari kutoa msaada kulia |
![]() |
| Seif Abdallah wa Azam akiwatoka mabeki wa Simba |
![]() |
| Ramadhani Mkipalamoto akiwatoka mabeki wa Azam |
![]() |
| Kipre Balou akimiliki mpira mbele ya Jonas Mkude wa Simba |
![]() |
| Haruna Chanongo akitoa pasi kwa kichwa mbele ya Ibrahim Mwaipopo |
![]() |
| Miraj Madenge wa Simba, akimiliki mpira mbele ya Himid Mao wa Azam |
![]() |
| Himid ameosha mbele ya Madenge |
![]() |
| Madenge akimpongeza Rashid Ismail kufunga bao la kwanza la Simba SC |
![]() |
| Mwadini Ally amedaka mbele ya beki wake Himi Mao, huku Ramadhani Mkipalamoto akifukuzia |
![]() |
| David Mwantika wa Azam akimdhibiti Mkipalamoto wa Simba SC |
![]() |
| Samih Hajji Nuhu amempitia Mkipalamoto na mpira wake |
![]() |
| Daktari wa Simba SC akimtoa nje beki Hassan Hatibu baada ya kuumia kiasi cha kushindwa kuendelea na mchezo |
![]() |
| Mkipalamoto amemlamba chenga Himid Mao, anaondoka... |
![]() |
| Lakini shuti lake lilidakwa na Mwadini...lilikuwa bao la wazi sana alikosa |
![]() |
| Gaudence Mwaikimba akipiga mpira kichwa ambao ulitoka nje sentimita chache |
![]() |
| Hatari langoni mwa Simba SC |
![]() |
| Lakini salama... |
![]() |
| Himid Mao akiwa ametoa mpira nje kupunguza kasi ya Haruna Chanongo wa Simba SC |
![]() |
| Mwantika amezuia, anaanza kugeuka taratibu |
![]() |
| Miraj Madenge akishangilia baada ya kuifungia Simba bao la pili |
![]() |
| Kutoka kulia ni Hassan Khatibu na Rashid Ismail wakicheza na Miraj Madenge kumpongeza kwa kufunga bao la pili |
![]() |
| Mkipalamoto akitafuta mbinu za kumtoka Mwantika |
![]() |
| Hapa ni wakati Azam ikiwa nyuma kwa 2-1, tazama sura ya kocha wa Azam, Muingereza Stewart Hall ilivyokuwa |
![]() |
| Brian Umony akiwa benchi baada ya kutolewa |
![]() |
| Kipa wa Simba SC, William Mweta akigagaa mpira ukiwa nyavuni...ni baada ya mkwaju wa penalti wa Joackins Atudo kuipatia Azam bao la kusawazisha |
![]() |
| Wachezaji wa Azam Seif Abdallah kulia na Humphrey Mieno kushoto wakiwa kwenye benchi baada ya kutolewa |
![]() |
| Makocha wanne wa kigeni wa Azam wakiwapa mawaidha wachezaji wao kabla ya kuingia kumalizia dakika 30 za nyongeza |
![]() |
| Kuna wakati ilibidi Stewart Hall aombe ushauri kwa mchezaji wake wa akiba, Luckson Kakolaki kushoto ambaye anamuambia cha kufanya, bila shaka ilikuwa ushauri mzuri na ndiyo maana timu ilishinda |
![]() | ||
| Shujaa wa Azam, Malikqa Ndeule akiwa amebebwa juu juu | SOURCE http://bongostaz.blogspot.com/ |










































No comments:
Post a Comment