Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, February 16, 2013

AFYA YA MATUMAINI YATENGAMAA




SHIRIKISHO la filamu nchini(TAFF) limesema, limefurahishwa na taarifa iliyotolewa na madaktari wa hospitali ya Amana kuwa afya ya msanii wa vichekesho Bi.Tumaini Mwakibibi ‘Matumaini’iposhwari na wamemruhusu kurudi nyumbani.

No comments:

Post a Comment