Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, February 12, 2013

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI YAUNGANISHWA KWENYE MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO


Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu kukamilika kwa mradi wa kuiunganisha ofisi hiyo kwenye Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, mradi uliofanywa kwa ufanisi na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa gharama ya shilingi milioni 477.
Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh akipokea cheti cha kukamilika kwa mradi wa kuiunganisha ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwenye Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kutoka kwa Bw. Kisamba Tambwe (kulia) Meneja wa njia za Mawasiliano za nje kutoka Kampuni ya simu Tanzania.
Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh (katikati mbele) akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Ofisi hiyo na viongozi wa Kampuni ya Simu Tanzania TTCL leo jijini Dar Es salaam.

No comments:

Post a Comment