Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, March 16, 2013

TAZAMA LADY JAYDEE AKIZINDUA VIDEO YA “JOTO HASIRA” NYUMBANI LOUNGE




1
Mwanamuziki Judith Wambura Mbibo  aka Lady JayDee ,  usiku wa kumkia leo amezindua  video yake mpya aliyomshirikishja Mkongwe Mwezake katika medani ya muziki wa kazazi kipya , Joseph Haule ‘Prof. J’ Video ya Wimbo unaoitwa kwa jina la ‘JOTO HASIRA’.
Jaydee alifanya uzinduzi huo katika mgahawa wake wa Nyumbani Longe uliopo Namanga wilayani Kinondoni Jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa na mamia ya wapenzi wa Burudani na muziki wa mwana dada huyo.
  Uzinduzi huo ulisindikizwa na bendi ya Lady Jaydee ya Machozi Band na kutoa burudani ambayo ilikonga nyoyo za mashabiki wake.
  Pichani juu ni Lady Jaydee akiimba wimbo wake huo mpya wa Joto Hasira kwaheri shida, mbele ya mashabiki wake wakati waOnesho hilo la uzinduzi wa video hiyo.
Dida Wa Mchops akiongoza mashabiki wa mwanamuziki Lady JayDee wakati wakicheza stejini 8Mbunifu wa Mavazi Asia Idarous akipozi kwa picha na Mdau Bhoke wakati wa onesho hilo.9Mboni Masimba katikati akiwa katika picha ya pamoja na Juma Pinto na Mdau Fred Maeda10Mamaa Shamimu wa 8020fashionblog akiwajibika kwa kupata taswira za onesho hilo.11Mdau Bhoke akipozi kwa picha1213Mdau Jane na mdogo wake nao walijitokeza katika uzinduzi huo wa video ya Joto Hasira.16kutoka kulia ni Monica na kutoka kushoto ni Mboni Masimba na Shamimu Mwasha17Juma Pinto kulia  na wadau mbalimbali wakishoo Love kwa picha

No comments:

Post a Comment